MAJALIWA: TUENDELEE KUDUMISHA AMANI TUNAPOSHEREHEKEA EID EL ADHA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Baraza la EID – ADH’ HAA baada ya kushiriki katika swala iliyofanyika kitaifa kwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam, Julai 10, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akislimiana na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt.Abubakar Zubeir bin Ally
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed