MAJALIWA: TUENDELEE KUDUMISHA AMANI TUNAPOSHEREHEKEA EID EL ADHA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Baraza la EID – ADH’ HAA baada ya kushiriki katika swala iliyofanyika kitaifa  kwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam, Julai 10, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akislimiana na   Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt.Abubakar Zubeir bin Ally